Tungo Zetu

Tungo Zetu

Ibrahim Noor Shariff

20,11 €
IVA incluido
Disponible
Editorial:
Afrabia Publishers
Año de edición:
2023
Materia
Historia de África
ISBN:
9781399933650
20,11 €
IVA incluido
Disponible
Añadir a favoritos

Wataalamu wa lugha na fasihi na mila za watu mbalimbali wametuzindua juu ya utajiri wa fasihi ya Waswahili. Katika fasihi hiyo, tungo za Kiswahili ndilo jambo lililojitokeza mbele kwa mwanga wenye kunawiri sana. Profesa Ibrahim Noor Shariff amefanya utafiti mkubwa kabla ya kukiandika kitabu hiki. Natija yake ni kuwa yaliyoelezwa humu yametufunulia mengi yaliyokuwa dafina. Tokea 1988 kilipochapishwa kitabu hiki kwa mara ya kwanza kimekuwa ni kitabu cha kukirejelea kwani kinaeleza yale ambayo watungaji wa tungo za Kiswahili, wataalamu, waalimu na wanafunzi wanaotaka kuelewa khabari za tungo huwa wanakirejelea mara kwa mara ili kupata jawabu za masuala yao.Kitabu hiki kimepangwa vizuri sana kwani kila maudhui yameandikwa chini ya kichwa cha khabari kinachoelezea maudhui yanayofuata. Hali kadhalika, kitabu kina mifano ya tungo za kupigiwa mifano. Yoyote anayetaka kuzungumza khabari za tungo za Waswahili hataweza tena kujadili mengi ya maana iwapo atajinyima fursa ya kusoma yaliyoandikwa katika kitabu hiki cha Tungo Zetu.

Artículos relacionados

  • Assassination of Herbert Chitepo
    Luise White
    On March 18, 1975, Herbert Chitepo, an African nationalist in exile and chairman of the war council that struggled to liberate Zimbabwe from white-ruled Rhodesia, was killed by a car bomb. Since then, there have been four confessions and at least as many accusations about who was responsible. In The Assassination of Herbert Chitepo, Luise White does not set out to resolve quest...
  • Kulubnarti I
    William Y. Adams / William YAdams
    Sudan Archaeological Research Society. Publication Number 18In 1998 and 1999 volumes II and III of the reports on the University of Kentucky excavations at Kulubnarti were published by the Sudan Archaeological Research Society as numbers 2 and 4 in its monograph series. Kulubnarti III was also available through British Archaeological Reports in its International Series no. 814....
    Disponible

    104,23 €

  • Life in Tanganyika in the Fifties
    Godfrey Mwakikagile
    Life in Tanganyika in the 1950s and a look at race relations between whites and black Africans and others in this East African country are some of the subjects covered in the book. It's full of human interest stories, including the author's. Born and brought up in Tanganyika, the author writes from personal experience. He also got the chance to ask many ex-Tanganyikans a numbe...
  • Africa at the End of the Twentieth Century
    Godfrey Mwakikagile
    The author looks at Africa at the end of the twentieth century and the challenges the continent faces in the twentieth-first in terms of development, governance and conflict resolution. The author also re-examines the concepts of sovereignty and the nation-state and their relevance to Africa and proposes restructuring the modern African state to reflect African realities and ...
  • Civil Wars in Rwanda and Burundi
    Godfrey Mwakikagile
    This is a historical survey and analysis of some of the bloodiest conflicts in modern times. The civil wars in Rwanda and Burundi, twin states in the Great Lakes region of East Africa, are often explained in simplistic terms even by some political pundits as mere tribal wars, rooted in anciet hatred, between the Hutu and the Tutsi. Ethnicity is indeed a factor. But of paramoun...
  • The Creole Elite and the Rise of Angolan Protonationalism
    Jacopo Corrado
    This book is about Angolan literature and culture. It investigates a segment of Angolan history and literature, with which even Portuguese-speaking readers are generally not familiar. Its main purpose is to define the features and the literary production of the so-called ’creole elite’, as well as its contribution to the early manifestations of dissatisfaction towards colonial ...
    Disponible

    124,04 €